NEW POSTS

Watu 19 wafariki maji, zaidi ya 30 hawajulikani walipo


Wahamiaji haramu 19 wafariki, 101 waokolewa na wengine zaidi ya 30 hawajulikani walipo baada ya mashua waliokuemo kuzama  Jamhuri ya Kaskazini ya Uturuki ya Cyprus, 

Mashua hiyo imeripotiwa kuazama katika umbali wa kimomita 16 na fukwe za Cyprus Kaskazini karibu na Karpaz. Kikosi cha uokozi hapo  awali kiliokoa miili ya watu watatu waliokuwa miongoni mwa  wahamiaji hao. 

Uongozi katika eneo hilo  umefahamisha kuendelea na harakati za kuokoa miili mingine ya wahamiaji waliozama na kuwatafuta wengine ambao kwa sasa hawajulikani walipo.

No comments